Luka 11:53 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192153 Alipokuwa akiwaambia haya, waandishi na Mafarisayo wakaanza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa masiala mengi, wakimwotea, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema53 Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na waalimu wa sheria walianza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND53 Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na waalimu wa sheria walianza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza53 Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na waalimu wa sheria walianza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu53 Isa alipoondoka huko, walimu wa Torati na Mafarisayo wakaanza kumpinga vikali na kumsonga kwa maswali, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu53 Isa alipoondoka huko, walimu wa Torati na Mafarisayo wakaanza kumpinga vikali na kumsonga kwa maswali, Tazama sura |