Luka 11:45 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192145 Mtu mmoja katika wana sharia akajibu, akamwambia, Mwalimu, ukisema haya watushutumu sisi nasi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu45 Mtaalamu mmoja wa Torati akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu45 Mtaalamu mmoja wa sheria akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.” Tazama sura |