Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 11:45 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

45 Mtu mmoja katika wana sharia akajibu, akamwambia, Mwalimu, ukisema haya watushutumu sisi nasi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Mtaalamu mmoja wa Torati akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Mtaalamu mmoja wa sheria akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.”

Tazama sura Nakili




Luka 11:45
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mmoja wao, mwana sharia, akamwuliza, akimjaribu; akinena,


Akasema, Na ninyi wana sharia, ole wenu, kwa sababu mwawachukuza watu mizigo isiyochukulika, na ninyi wenyewe hamwigusi mizigo hiyo kwa kimojawapo cha vidole vyenu.


Ole wenu, enyi wana sharia, kwa sababu mliuchukua ufunguo wa maarifa; ninyi wenyewe hamkuingia, na wale waliokuwa wakiingia mliwazuia.


Bali Mafarisayo na wana sharia walijikatalia shauri la Mungu kwa kuwa hawakubatizwa nae.


Ni nani katika wakubwa amwammiye, au katika Mafarisayo?


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi: bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja nae wakasikia haya, wakamwambia, Je! sisi nasi tu vipofu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo