Luka 11:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192139 Bwana akamwambia, Sasa ninyi Mafarisayo mwasafisha kikombe na sabani kwa nje, lakini ndani yenu mmejaa unyangʼanyi ua uovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Bwana akamwambia, “Nyinyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Bwana akamwambia, “Nyinyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Bwana akamwambia, “Nyinyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Ndipo Bwana Isa akamwambia, “Sasa, enyi Mafarisayo mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyang’anyi na uovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Ndipo Bwana Isa akamwambia, “Sasa, enyi Mafarisayo, mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyang’anyi na uovu. Tazama sura |