Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 11:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Hapana mtu awashae taa na kuiweka mahali pa siri au chini va pishi, bali huiweka juu ya kibao cha kuwekea taa: illi waingiao wanone mwanga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 “Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa debe, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 “Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa debe, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 “Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa debe, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 “Hakuna mtu yeyote awashaye taa na kuiweka mahali palipofichika au kuifunikia chini ya bakuli. Badala yake huiweka juu ya kinara chake, ili watu wote wanaoingia waone nuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 “Hakuna mtu yeyote awashaye taa na kuiweka mahali palipofichika au kuifunikia chini ya bakuli. Badala yake huiweka juu ya kinara chake, ili watu wote wanaoingia waone nuru.

Tazama sura Nakili




Luka 11:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni kalika nuru; na msikialo kwa siri, likhubirini juu ya nyumba.


Yesu akajibu, Saa za mchana je si thenashara? Mtu akienda mchana hajikwai, kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.


Mimi nimekuja niwe nuru ulimwenguni, illi kilia aniaminiye mimi asikae gizani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo