Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 11:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Lakini yeye akasema, Bali afadhali wa kheri wenye kulisikia neno la Mungu na kulishika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini Yesu akasema, “Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Isa akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”

Tazama sura Nakili




Luka 11:28
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye akajibu akawaambia, Mama yangu na ndugu zangu ndio hawa walisikialo neno la Mungu na kulitenda.


Mkiyajua hayo, m kheri mkiyatenda.


Yu kheri asomae, nao wayasikiao maneno ya unabii huu na kuyafanya yaliyoandikwa humo: maana wakati ni karibu.


Wa kheri wazifuazo nguo zao, wawe na amri kuuendea mti wa uzima, na kuuingia mji kwa milango yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo