Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 11:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Lakini nikifukuza pepo kwa kidole cha Mungu, bassi ufalme wa Mungu umewajieni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Lakini ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Lakini ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Lakini ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umewajia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa kidole cha Mungu, basi Ufalme wa Mwenyezi Mungu umewajia.

Tazama sura Nakili




Luka 11:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi nikifukuza pepo kwa uweza wa Bobo ya Mungu, bassi ufalme wa Mungu umekujieni.


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Khabari zake zikaenea katika Sham yote; wakamletea watu waliokuwa hawawezi, walioshikwa mi maradhi mbali mbali na mateso, nao wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Hatta mavumbi haya ya mji wenu, yaliyogandamana nasi, twayakungʼuta juu yenu: illakini jueni haya, ya kuwa ufalme wa Mungu umewakaribieni.


Waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni ya kama, Ufalme wa Mungu umewakaribieni.


Aliye na nguvu, mwenye silaha zake, alindapo na wake, mali zake zimo katika amani:


Na sasa mimi najua ya kuwa ninyi nyote niliowakhubirini ufalme wa Mungu, nikienda huko na huko, hamtaniona uso tena.


ndio ishara ya hukumu ya haki ya Mungu illi mstabilishwe kuuingia ufalme wa Mungu, ambao kwa ajili yake mnateswa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo