Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 11:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Wengine wao wakasema, Kwa Beelzebul, mkubwa wa pepo atoa pepo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini baadhi ya watu hao wakasema, “Anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini baadhi ya watu hao wakasema, “Anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini baadhi ya watu hao wakasema, “Anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Lakini wengine wakasema, “Anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, yule mkuu wa pepo wachafu wote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Lakini wengine wakasema, “Anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, yule mkuu wa pepo wachafu wote.”

Tazama sura Nakili




Luka 11:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebul, je, si zaidi wale walio nyumbani mwake?


Wakati ule akaletewa mtu mwenye pepo, kipofu na bubu; akamponya, hatta yule kipofu na bubu akasema na kuona.


Khabari zake zikaenea katika Sham yote; wakamletea watu waliokuwa hawawezi, walioshikwa mi maradhi mbali mbali na mateso, nao wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Lakini Mafarisayo wakanena, Kwa mkuu wa pepo afukuza pepo.


Wengi wao wakasema, Ana pepo, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?


Makutano wakajibu, wakasema, Una pepo; ni nani anaetafuta kukuua?


Wayahudi wakajibu wakamwambia, Hatuneni vema sisi kwamba wewe u Msamaria, na una pepo?


Bassi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumefahamu ya kuwa una pepo; Ibrahimu amekufa na manabii, na wewe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti kabisa hatta milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo