Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 11:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Kwa sababu killa aombae hupewa: nae atafutae hupata: nae abishae hufunguliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura Nakili




Luka 11:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akuombae, mpe; nae atakae kukopa kwako, usimpe kisogo.


kwa maaua killa aombae hupokea; nae atafutae huona, nae abishae alafunguliwa.


Kwa maana ni nani kwenu aliye baba, mwanawe akamwomba mkate, je! atampa jiwe? au akimwomba samaki, badala ya samaki atampa nyoka?


Nami nawaambia ninyi, Ombeni na mtapewa: tafuteni na mtapata: bisheni na mtafunguliwa.


AKAWAAMBIA na mfano ya kama imewapasa kumwomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa,


Mwaomba wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, illi mvilumie kwa tamaa zenu.


Angalieni, twawaita wenye kheri wao waliovumilia. Mmesikia khabari ya uvumilivu wa Ayub, mmenona mwisho wa Bwana ya kwamba Bwana ni mwenye rehema nyingi, mwenye huruma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo