Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Msihame nyumba kwa nyumba. Na mji wo wote mtakaouingia, wakiwakaribisheni, vileni vitu vile viwekwavyo mbele yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,

Tazama sura Nakili




Luka 10:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Awapokeae ninyi, anipokea mimi; nae anipokeae mimi, ampokea yeye aliyenituma.


Na mji wo wote mtakaouingia nao hawawakaribishi utokeni, mkipita katika njia zake semeni,


akawaambia, Killa mtu atakaempokea kitoto hiki kwa jina langu, anipokea mimi, na killa mtu atakaenipokea mimi, ampokea yeye aliyenituma. Maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu ninyi nyote, huyu atakuwa mkubwa.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye ampokeae ye yote nimpelekae, anipokea mimi; nae anipokeae mimi, ampokea yeye aliyenipeleka.


Na mtu asiyeamini akiwaalika, nanyi mnataka kwenda, kulani killa kitu kiwekwacho mbele yenu bila kuulizauliza, kwa ajili ya dhamiri.


Na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwamba wale waikhubirio Injili wamzukiwe kwa Injili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo