Luka 10:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Msihame nyumba kwa nyumba. Na mji wo wote mtakaouingia, wakiwakaribisheni, vileni vitu vile viwekwavyo mbele yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu, Tazama sura |