Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Na kama yumo mwana wa amani, amani yenu itakaa kwake. La! si hivyo, itawarudia ninyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.

Tazama sura Nakili




Luka 10:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na nyumba yo yote mwingiayo, kwanza neneni, Amani iwe nyumbani humu.


Kaeni katika nyumba hiyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; kwa maana mtenda kazi astahili kupewa ijara yake.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo maana; maana kwa sababu ya haya ghadhabu ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Sasa, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani siku zote kwti njia zote. Bwana awe pamoja nanyi nyote.


na tunda la baki hupandwa katika amani kwa wale wafanyao amani.


Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza, za ujinga wenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo