Luka 10:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Na kama yumo mwana wa amani, amani yenu itakaa kwake. La! si hivyo, itawarudia ninyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia. Tazama sura |