Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Na nyumba yo yote mwingiayo, kwanza neneni, Amani iwe nyumbani humu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’

Tazama sura Nakili




Luka 10:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Msichukue kifuko, wala mkoba, wala viatu: wala msimsalimu mtu njiani.


Na kama yumo mwana wa amani, amani yenu itakaa kwake. La! si hivyo, itawarudia ninyi.


Yesu akamwambia, Leo wokofu umefika nyumbani humu, kwa kuwa huyu nae ni mwana wa Ibrahimu.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli, akikhubiri amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


akaja, akakhubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na kwao waliokuwa karibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo