Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 bassi akamjongelea, akamfunga jeraha zake, akitia mafuta na mvinyo: akampandisha juu ya nyama wake, akamleta katika nyumba ya wageni, akamwuguza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai na kuyafunga; halafu akampandisha juu ya punda wake, akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamwuguza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai na kuyafunga; halafu akampandisha juu ya punda wake, akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamwuguza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai na kuyafunga; halafu akampandisha juu ya punda wake, akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamwuguza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Akaenda alipokuwa na akasafisha majeraha yake kwa divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo akampandisha kwenye punda wake, akampeleka hadi kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Akaenda alipokuwa na akasafisha majeraha yake kwa divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo akampandisha kwenye punda wake, akampeleka mpaka kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.

Tazama sura Nakili




Luka 10:34
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ametenda alivyoweza; amenipaka mwili marhamu kwa ajili ya maziko yangu.


Lakini Msamaria mmoja akisafiri, akamjia, nae alipomwona akamhurumia;


Hatta assubuhi yake akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba, akasema, Mwuguze: na cho chote utakachogharimia zaidi, nirudipo, nitakulipa.


Akamzaa mtoto wake wa kifungua mimba, akamfunga nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakuona nafasi katika nyumba ya wageni.


Bassi adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivi, utampalia makaa ya moto kichwani pake.


Angalieni mtu awae yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo