Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Lakini Msamaria mmoja akisafiri, akamjia, nae alipomwona akamhurumia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.

Tazama sura Nakili




Luka 10:33
14 Marejeleo ya Msalaba  

Hawa thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akinena, Katika njia ya Mataifa msiende, wala mjini mwa Wasamaria msiingie:


nawe, je, haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?


Na Mlawi kadhalika alipofika pahali pale, akamwona akapita upande.


bassi akamjongelea, akamfunga jeraha zake, akitia mafuta na mvinyo: akampandisha juu ya nyama wake, akamleta katika nyumba ya wageni, akamwuguza.


Na Bwana alipomwona, akamhurumia, akamwambia, Usilie.


Bassi yule mwanamke wa Kisamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke wa Kisamaria? kwa maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.


Wayahudi wakajibu wakamwambia, Hatuneni vema sisi kwamba wewe u Msamaria, na una pepo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo