Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Na Mlawi kadhalika alipofika pahali pale, akamwona akapita upande.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani

Tazama sura Nakili




Luka 10:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa nasibu kukashuka kuhani mmoja njia ileile, akamwona, akapita upande.


Lakini Msamaria mmoja akisafiri, akamjia, nae alipomwona akamhurumia;


Paolo akapaaza sauti yake kwa uguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tupo hapa.


Na Wayunani wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sunagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Na Gallio hakuyaona mambo hayo kuwa kitu.


Maana watu walakuwa wenye kujipenda nafsi zao, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kufuru, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi, wasiowapenda wa kwao,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo