Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Na kwa nasibu kukashuka kuhani mmoja njia ileile, akamwona, akapita upande.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Kuhani mmoja alikuwa akipitia njia ile, alipomwona huyo mtu, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Kuhani mmoja alikuwa akipitia njia ile, alipomwona huyo mtu, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.

Tazama sura Nakili




Luka 10:31
18 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu akasema, Kulikuwa na mtu akishuka kutoka Yerusalemi kwenda Yeriko; akaangukia katika mikono ya wanyangʼanyi, wakamvua nguo zake, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakamwacha nussu ya kufa.


Na Mlawi kadhalika alipofika pahali pale, akamwona akapita upande.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo