Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Yesu akajibu akasema, Kulikuwa na mtu akishuka kutoka Yerusalemi kwenda Yeriko; akaangukia katika mikono ya wanyangʼanyi, wakamvua nguo zake, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakamwacha nussu ya kufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyanganya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyanganya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Isa akamjibu akasema, “Mtu mmoja alikuwa akiteremka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, naye akaangukia mikononi mwa wanyang’anyi. Wakampiga, wakaondoka, wakamwacha akiwa karibu kufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Isa akamjibu akasema, “Mtu mmoja alikuwa akiteremka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, naye akaangukia mikononi mwa wanyang’anyi. Wakampiga, wakaondoka, wakamwacha akiwa karibu kufa.

Tazama sura Nakili




Luka 10:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa nasibu kukashuka kuhani mmoja njia ileile, akamwona, akapita upande.


Bassi, Yesu akawachukua wale thenashara akawaambia, Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemi, na yatatimizwa mambo yote aliyoandikiwa Mwana wa Adamu na manabii.


Alipokwisha kusema haya, akaendelea mbele, akipanda kwenda Yerusalemi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo