Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Enendeni: angalieni, nakutumeni ninyi kama wana kondoo kati ya mbwa wa mwitu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma nyinyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwamwitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma nyinyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwamwitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma nyinyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwamwitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Nendeni! Tazama ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa-mwitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Haya! nendeni. Ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa mwitu.

Tazama sura Nakili




Luka 10:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatumeni kama kondoo kati ya mbwa wa mwitu: bassi mwe na busara kama nyoka, na msio na dhara kama hua.


Na mtakuwa mkichukiwa na watu wole kwa ajili ya jina langu: lakini adumuye hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.


Jihadharini na manabii wa uwongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa wa mwitu wakali.


Msichukue kifuko, wala mkoba, wala viatu: wala msimsalimu mtu njiani.


Mtu wa mshahara, na asiye mchunga, ambae kondoo si mali yake, humwona mbwa wa mwitu anakuja, huziacha kondoo, hukimbia; na mbwa wa mwitu huziteka, huzitawanya.


Likumbukeni lile neno nililowaambieni, Mtumwa si mkubwa kuliko Bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi nanyi: ikiwa walilishika neno langu, watalishika na lenu.


Watawaharamisha masunagogi: naam, saa inakuja, atakapodhani killa mtu awauae kuwa amtolea Mungu ibada.


Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kwangu mbwa za mwitu wakali watakuja kwenu, wasiliachie kundi:


Maana nitamwonyesba mambo mengi makuu yatakayompasa kuteswa kwa ajili ya Jina langu.


akataka ampe khati za kwenda Dameski zilizoandikwa kwa masunagogi, illi akiona watu wa Njia hii, waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo