Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Nae akitaka kujifanya ana haki akamwambia Yesu, Na jirani yangu ni nani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Lakini yule mtaalamu wa Torati, akitaka kujionesha kuwa mwenye haki, akamuuliza Isa, “Jirani yangu ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Lakini yule mtaalamu wa Torati, akitaka kujionyesha kuwa mwenye haki, akamuuliza Isa, “Jirani yangu ni nani?”

Tazama sura Nakili




Luka 10:29
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaita makutano na wanafunzi wake, akawaambia, Atakae kuniandama na ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Waonaje bassi? Katika hawa watatu yupi aliyekuwa jirani yake mwenye kuangukia katika mikono ya wanyangʼanyi?


Akawaambia, Ninyi ndio watu wanaodai kuwa wenye haki mbele ya wana Adamu, lakini Mungu anajua mioyo yenu; kwa maana lililotukuka kwa wana Adamu, ni chukizo mbele ya Mungu.


Kwa maana, wakiwa hawajui haki ya Mungu, na wakitaka kuithubutisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.


Kwa maana ikiwa Ibrahimu alipewa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia, lakini si mbele za Mungu.


Ni dhahiri ya kwamba hapana mtu ahesabiwae kuwa ana haki nibele za Mungu katika sharia; kwa sababu Mwenye haki ataisbi kwa imani.


Mwaona kwamba mwana Adamu ahesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa iinaui peke yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo