Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Akamwambia, Katika torati imeandikwa nini? Wasomaje?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Yeye akamwuliza, “Imeandikwa nini katika sheria? Unaelewaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Isa akamjibu, “Imeandikwaje katika Torati? Kwani unasoma nini humo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Isa akamjibu, “Imeandikwaje katika Torati? Kwani unasoma nini humo?”

Tazama sura Nakili




Luka 10:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana sharia mmoja akasimama akimjaribu, akasema, Mwalimu, nifanyeni niurithi uzima wa milele?


Nae akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.


Kwa maana Musa aieleza haki itokayo kwa sharia, akiandika ya kuwa, Mtu afanyae haya ataishi kwa haya.


Twajua ya kuwa mambo yote yasemwayo na torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, illi killa kinywa kifumbwe, ulimwengu wote ukapasiwe na hukumu ya Mungu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo