Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 10:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Akawaambia, Nalimwona Shetani kama umeme akianguka toka mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Isa akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Isa akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.

Tazama sura Nakili




Luka 10:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo, sasa mkuu wa ulimwengu him atatupwa nje.


kwa khabari ya hukumu, kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amehukumiwa.


Bassi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye nae vivyo hivyo alishiriki yayo bayo, illi kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani Shetani,


afanyae dhambi yu wa Shetani: kwa kuwa Shetani hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihiri, illi azivunje kazi za Shetani.


Akamshika joka, yule nyoka wa zamani, aliye msingiziaji, Shetani, akamfunga miaka elfu,


MALAIKA wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya inchi; akapewa ufunguo wa shimo la abuso.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo