Luka 10:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Nawaambieni, itakuwa rakhisi Sodoma istahimili adhabu yake siku ile kuliko mji ule. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile ya watu wa Sodoma. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile ya watu wa Sodoma. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile ya watu wa Sodoma. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Ninawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ile kuliko mji ule. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Ninawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ile kuliko mji ule. Tazama sura |