Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Bassi ikawa alipokuwa akifanya kazi ya ukuhani katika taratibu ya zamu yake mbele ya Mungu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Siku moja, ilipokuwa zamu yake kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Siku moja, ilipokuwa zamu yake kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Siku moja, ilipokuwa zamu yake kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Siku moja ilipokuwa zamu ya kikundi cha Zakaria, yeye akifanya kazi ya ukuhani Hekaluni mbele za Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Siku moja ilipokuwa zamu ya kikundi cha Zekaria, yeye akifanya kazi ya ukuhani Hekaluni mbele za Mwenyezi Mungu,

Tazama sura Nakili




Luka 1:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Zamani za Herode, mfalme wa Yahudi, palikuwa na kuliani mmoja, jina lake Zakaria, wa zamu ya Abiya: na mkewe alikuwa mmojawapo wa binti Haruni, jina lake Elizabeti.


Nao walikuwa hawana mtoto; maana Elizabeti alikuwa tassa, nao wote wawili wazec sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo