Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:79 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

79 Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa mauti, Na kuelekeza miguu yetu mnamo njia ya amani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

79 na kuwaangazia wote wanaokaa katika giza kuu la kifo, aongoze hatua zetu katika njia ya amani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

79 na kuwaangazia wote wanaokaa katika giza kuu la kifo, aongoze hatua zetu katika njia ya amani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

79 na kuwaangazia wote wanaokaa katika giza kuu la kifo, aongoze hatua zetu katika njia ya amani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

79 ili kuwaangazia wale wanaoishi gizani na katika uvuli wa mauti, kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

79 ili kuwaangazia wale waishio gizani na katika uvuli wa mauti, kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.”

Tazama sura Nakili




Luka 1:79
36 Marejeleo ya Msalaba  

Watu waliokaa gizani Waliona mwanga mkuu, Nao waliokaa katika inchi na kivuli cha mauti, Mwanga umewazukia.


Nuru ya kuwaangaza mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako Israeli.


Kulikuwako nuru halisi, imtiayo nuru killa mtu ajae katika ulimwengu.


Mimi nimekuja niwe nuru ulimwenguni, illi kilia aniaminiye mimi asikae gizani.


Bassi Yesu akanena nao tena, akisema. Mimi ni nuru ya ulimwengu; anifuatae hatakwenda katika giza kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.


Maadam nipo ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli, akikhubiri amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


uwafumhue macho yao, waiache giza na kuielekea nuru, na waziache nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu, na wapate masamaha ya dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu.


Na njia ya amani hawakuijua.


Kwa maana zamani mlikuwa giza, bali sasa nuru katika Bwana; enendeni kama watoto wa nuru;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo