Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:77 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

77 Uwajulishe watu wake wokofu Zikiondolewa dhambi zao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

77 kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

77 kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

77 kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

77 kuwajulisha watu wake wokovu utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

77 kuwajulisha watu wake juu ya wokovu utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,

Tazama sura Nakili




Luka 1:77
19 Marejeleo ya Msalaba  

Akalika inchi yote iliyo kando ya Yardani, akikhuhiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la dhambi,


Na wote wenye mwili watanona wokofu wa Mungu.


Siku ya pili yake Yohana amwona Yesu anakuja kwake, akanena, Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu, aichukuae dhambi ya ulimwengu!


Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.


Huyu manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake killa amwaminiye atapewa ondoleo la dhambi.


Paolo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakaekuja nyuma yake, yaani Kristo Yesu.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe killa mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Tubuni bassi, mrejee, illi dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuhurudishwa kwa kuwako kwake Bwana:


Mtu kuyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toha na masamaha ya dhambi.


ambae Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa damu yake, kwa njia ya imani, illi aonyeshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia dhambi zilizotangulia, katika uvumilivu wa Mungu:


Katika yeye tuna ukombozi kwa damu yake, masamaha ya dhambi, kwa wingi wa neema yake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo