Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:70 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

70 (Kama alivyosema kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu mwanzo),

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

70 Aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

70 Aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

70 Aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

70 (kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani),

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

70 kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani,

Tazama sura Nakili




Luka 1:70
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu Daud mwenyewe alisema, kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti mkono wangu wa kuume Hatta niwafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu yako.


Akawaambia, Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambieni, nilipokuwa kwenu, ya kuwa hayana buddi kutimizwa yote niliyoandikiwa katika torati ya Musa, na katika manabii, na katika zaburi.


Na walipokuwa hawapatani wao kwawao, wakaenda zao, Paolo alipokwisha kusema neno hili moja ya kama, Roho Mtakatifu alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya,


ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika maandiko matakatifu,


Kwa hiyo, kama anenavyo Robo Mtakatifu, Leo, kama mtasikia sauti yake,


Waliofunuliwa ya kuwa si kwa ajili yao wenyewe, bali kwa ajili yetu walitumika katika mambo hayo, ambayo sasa yamekhubiriwa kwenu na wale waliowakhubiri ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Mambo hiayo malaika wanatamani kuyachuugulia.


Maana unabii haukuletwa zamani kwa mapenzi ya mwana Adamu; hali wana Adamu, watakatifu wa Mungu, walinena, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.


mpate kuyakumbuka maneno yaliyonenwa zamani na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana Mwokozi iliyoletwa na mitume wake.


Nikaanguka mbele ya miguu yake, nimsujudie, akaniambia, Angalia, usifanye hivi: mimi mjoli wako na mmoja wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudu Mungu: kwa maana ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo