Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:68 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

68 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli; Kwa kuwa amewajia watu wake na kuwakomboa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

68 “Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

68 “Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

68 “Atukuzwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amewajia na kuwakomboa watu wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

68 “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

68 “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa.

Tazama sura Nakili




Luka 1:68
24 Marejeleo ya Msalaba  

Tuokolewe na adui zetu, na katika mikono yao wote wauaotuchukia;


watakuangusha chini, na watoto wako ndani yako; wasikuachie jiwe juu ya jiwe; kwa kuwa hukujua majira ya kujiliwa kwako.


Akitokea yeye nae saa ileile, alimshukuru Mungu, akawapasha khabari zake watu wote waliokuwa wakitazamia ukombozi katika Yerusalemi.


nasi twalitaraja ya kuwa yeye ndiye atakaekomboa Israeli. Hatta pamoja na haya yote, leo ni siku ya tatu tangu yalipokuwa haya.


Khofu ikawashika wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii mkuu ametokea kwetu: na Mungu amewajilia watu wake.


Atukuzwe Mungu, Baba yake Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani ya Kristo;


Katika yeye tuna ukombozi kwa damu yake, masamaha ya dhambi, kwa wingi wa neema yake;


wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia marra moja katika patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele.


Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambae kwa rehema zake nyingi alituzaa marra ya pili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuliwa kwake Yesu Kristo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo