Luka 1:63 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192163 Akataka kibau, akaandika, akanena, Yohana ni jina lake. Wakataajabu wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.” Tazama sura |