Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:63 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

63 Akataka kibau, akaandika, akanena, Yohana ni jina lake. Wakataajabu wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

63 Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: “Yohane ndilo jina lake.” Wote wakastaajabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yahya.”

Tazama sura Nakili




Luka 1:63
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliposikia haya, akastaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa kama hii, hatta katika Israeli.


Yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mke wako Elizabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.


Akajibu mamae, akasema, Sivyo, lakini atakwitwa Yohana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo