Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:59 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

59 Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babae, Zakaria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

59 Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

59 Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

59 Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

59 Siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto, wakataka yule mtoto aitwe Zakaria, ambalo ndilo jina la baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

59 Siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto, wakataka yule mtoto aitwe Zekaria, ambalo ndilo jina la baba yake.

Tazama sura Nakili




Luka 1:59
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na zilipotimia siku nane za kumtahiri, alikwitwa jina lake Yesu, lile lililotajwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Akampa agano la Tohara; bassi Ibrahimu akazaa Isaak, akamtahiri siku ya nane. Isaak akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa wale thenashara, wazee wetu.


Nalitabiriwa siku ya nane, ni lutu wa taifa la Israeli, wa kabila ya Benjamin, Mwebrania wa Waebrania, kwa khabari ya kuifuata sharia, Farisayo, kwa khabari ya wivu, mwenye kuliudhi Kanisa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo