Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Akaingia nyumbani kwa Zakaria, akamwamkia Elizabeti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Huko, aliingia katika nyumba ya Zakaria, akamsalimu Elisabeti.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Akaingia nyumbani mwa Zakaria na kumsalimu Elizabeti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Akaingia nyumbani kwa Zekaria na kumsalimu Elizabeti.

Tazama sura Nakili




Luka 1:40
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mariamu akaondoka siku hizo, akaenda milimani kwa haraka hatta mji mmoja wa Yuda.


Ikawa Elizabeti alipoisikia salamu ya Mariamu, mtoto mchanga akaruka ndani ya tumbo lake; Elizabeti akajazwa Roho Mtakatifu, akapaaza sauti yake kwa nguvu, akasema,


Zamani za Herode, mfalme wa Yahudi, palikuwa na kuliani mmoja, jina lake Zakaria, wa zamu ya Abiya: na mkewe alikuwa mmojawapo wa binti Haruni, jina lake Elizabeti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo