Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Mariamu akasema, Tazama, mimi mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kwa neno lako. Malaika akaondoka kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Maria akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema.” Kisha yule malaika akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Maria akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema.” Kisha yule malaika akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Maria akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema.” Kisha yule malaika akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa Mwenyezi Mungu. Na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kisha malaika akaondoka, akamwacha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa Mwenyezi Mungu. Na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kisha malaika akaondoka, akamwacha.

Tazama sura Nakili




Luka 1:38
8 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maana hapana neno lisilowezekana kwa Mungu.


Mariamu akaondoka siku hizo, akaenda milimani kwa haraka hatta mji mmoja wa Yuda.


Kwa kuwa ameutazama unyonge wa mjakazi wake: Kwa maana hakika, tokea leo vizazi vyote wataniita kheri.


Kwa maana, imeandikwa, Ibrahimu alikuwa na wana wawili, mmoja kwa mjakazi, na mmoja kwa mwungwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo