Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 kwa maana hapana neno lisilowezekana kwa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Kwa maana kwa Mwenyezi Mungu hakuna lisilowezekana.”

Tazama sura Nakili




Luka 1:37
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawatazama, akawaambia, Kwa wana Adamu hili haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.


Yesu akawakazia macho, akanena, Kwa wana Adamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu.


Na tazama, nae Elizabeti jamaa yako, ana mimba ya mtoto mume katika uzee wake: na mwezi hun wa sita kwake yeye aliyekwitwa tassa:


Mariamu akasema, Tazama, mimi mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kwa neno lako. Malaika akaondoka kwake.


Akasema, Yasiyowezekana kwa wana Adamu, yawezekana kwa Mungu.


atakaeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule awezao kuvitiisha hatta na vitu vyote chini yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo