Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hatta milele; wala ufalme wake hautakuwa na mwisho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

Tazama sura Nakili




Luka 1:33
28 Marejeleo ya Msalaba  

KITABU eba ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daud, mwana wa Ibrahimu.


Yesu akaja kwao, akasema nao, akinena, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na juu ya dunia.


Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili; kwa maana simjui mume?


Si kana kwamba neno la Mungu limetanguka; maana hawawi wote Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.


Na kama ninyi ni wa Kristo, bassi, nimekuwa mzao wa Ibrahimu, na wrarithi kwa ahadi.


Na wote watakaoiendea kanuni hii, amani kwao na rehema, naam, kwa Israeli wa Mungu.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Muugu kwa Roho, na kujisifu katika Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili.


Lakini katika khabari ya Mwana anena, Kiti chako, Mungu, ni cha milele; na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya kunyoka.


Malaika wa saha akapiga baragumu, pakawa sauti kuu katika mbingu, zikisema, Falme za dunia zimekwisha kuwa ufalme na Mungu na wa Kristo wake, nae atamiliki hatta milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo