Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Tazama, utachukua mimba, utazaa mwana, utamwita jina lake Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto wa kiume na utamwita jina Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanaume na utamwita jina lake Isa.

Tazama sura Nakili




Luka 1:31
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nae atazaa mtoto mwanamume, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, ndiye atakaewaokoa watu wake na dhambi zao.


Angalia, mwanamke bikira atachukua mimba, nae atazaa mwana, Na watamwita jina lake Immanuel; tafsiri yake, Mungu kati yetu.


akamchukua mkewe; asimjue kamwe hatta alipomzaa mwanawe wa kifungua mimba; akainwita jina lake YESU.


Yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mke wako Elizabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.


kwa mwanamke bikira aliyekuwa ameposwa na mume, jina lake Yusuf, wa nyumba ya Daud; na jina la yule mwanamke Mariamu.


Na zilipotimia siku nane za kumtahiri, alikwitwa jina lake Yesu, lile lililotajwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Daud, bassi, amwita Bwana, na amekuwaje Mwana wake?


Hatta ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwana wake, amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sharia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo