Luka 1:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192129 Nae akafadhaika kwa khabari ya neno hili, akawaza moyoni mwake, Hii ni salamu gani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: maneno hayo yanamaanisha nini? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Mariamu akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni salamu hii ni ya namna gani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Mariamu akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?” Tazama sura |