Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Hatta baada ya siku zile mkewe Elizabeti akachukua mimba akajificha miezi mitano, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.

Tazama sura Nakili




Luka 1:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa siku za khuduma yake zilipotimia, akaenda zake nyumbani kwake.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana, siku zile alizoniangalia, kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Zamani za Herode, mfalme wa Yahudi, palikuwa na kuliani mmoja, jina lake Zakaria, wa zamu ya Abiya: na mkewe alikuwa mmojawapo wa binti Haruni, jina lake Elizabeti.


KITABU kile cha kwanza nalikifanya, Theofilo, katika khabari ya mambo yote aliyoanza kufanya Yesu na kufundisha,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo