Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Zakaria akamwambia malaika, Nitajuaje hayo? Maana mimi mzee na mke wangu kongwe wa siku nyingi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Zakaria akamwambia huyo malaika, “Ni kitu gani kitakachonihakikishia jambo hilo? Mimi ni mzee, hali kadhalika na mke wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Zakaria akamwambia huyo malaika, “Ni kitu gani kitakachonihakikishia jambo hilo? Mimi ni mzee, hali kadhalika na mke wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Zakaria akamwambia huyo malaika, “Ni kitu gani kitakachonihakikishia jambo hilo? Mimi ni mzee, hali kadhalika na mke wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Zakaria akamuuliza malaika, “Jambo hilo linawezekanaje? Mimi ni mzee na mke wangu pia ana umri mkubwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Zekaria akamuuliza malaika, “Jambo hilo linawezekanaje? Mimi ni mzee na mke wangu pia ana umri mkubwa.”

Tazama sura Nakili




Luka 1:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili; kwa maana simjui mume?


Nao walikuwa hawana mtoto; maana Elizabeti alikuwa tassa, nao wote wawili wazec sana.


Asiyekuwa dhaifu wa imani, wala hakutia moyoni hali ya mwili wake uliokuwa umekwisha kufa (akiwa amekwisha kupata miaka mia), wala hali ya kufa ya tumbo lake Sara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo