Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Kwa maani atakuwa mkuu mbele ya Mungu, hatakunywa divai wala kileo: nae atajazwa Roho Mtakatifu hatta tangu tumbo la mama yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Atakuwa mkubwa mbele ya Bwana. Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Atakuwa mkubwa mbele ya Bwana. Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Atakuwa mkubwa mbele ya Bwana. Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele za Mwenyezi Mungu, kamwe hataonja mvinyo wala kinywaji chochote cha kulevya, naye atajazwa Roho Mtakatifu wa Mungu hata kabla ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele za Mwenyezi Mungu, kamwe hataonja mvinyo wala kinywaji chochote cha kulevya, naye atajazwa Roho wa Mwenyezi Mungu hata kabla ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura Nakili




Luka 1:15
22 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe utakuwa na furaha na shangwe; na watu wengi watafurahia kuzaliwa kwake.


Maana nawaambieni, Katika wazao wa wanawake hapana nabii aliye mkuu kuliko Yobana Mbatizaji: lakini aliye mdogo katika ufalme wa Mungu ni mkuu kuliko yeye.


Kwa maana Yohana Mbatizaji amekuja, hali mkate, wala hanywi divai, mkasema, Yuna pepo.


Yeye alikuwa taa iwakayo na kuangaza, na ninyi mlipenda kuishangilia nuru yake kitambo.


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha mbalimbali, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Lakini Mungu aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu, akaniita kwa neema yake,


Tena msilevye kwa mvinyo, kwa kuwa haina kiasi, bali mjazwe Roho;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo