Luka 1:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mke wako Elizabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Lakini malaika akamwambia, “Zakaria, usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na Elisabeti mkeo atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yohane. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Lakini malaika akamwambia, “Zakaria, usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na Elisabeti mkeo atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yohane. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Lakini malaika akamwambia, “Zakaria, usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na Elisabeti mkeo atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yohane. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope, Zakaria, kwa maana Mungu amesikia maombi yako. Mkeo Elizabeti atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utamwita jina Yahya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope, Zekaria, kwa maana Mwenyezi Mungu amesikia maombi yako. Mkeo Elizabeti atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utamwita jina lake Yahya. Tazama sura |