Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 1:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Zakaria akafadhaika alipomwona, khofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Zakaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Zekaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.

Tazama sura Nakili




Luka 1:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wakiingia kaburini wakaona kijana ameketi upande wa kuume, amevaa vazi jeupe: wakastaajabu.


Nae akafadhaika kwa khabari ya neno hili, akawaza moyoni mwake, Hii ni salamu gani?


Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Maombi yako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


Na nilipomwona nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akiniambia, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo