Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Filemoni 1:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Na kama amekudhulumu, au awiwa nawe kitu, ukiandike juu yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.

Tazama sura Nakili




Filemoni 1:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kama ukiniona mimi kuwa mshirika nawe, mpokee huyu kama mimi.


Mimi Paoio nimeandika kwa mkouo waugu mweuyewe, nitalipa. Sikuambii kwamba wawiwa nami hatta nafsi yako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo