Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Filemoni 1:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 ambae zamani allkuwa hakufai, hali sasa akufaa saua, wewe na mimi pia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.

Tazama sura Nakili




Filemoni 1:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtumishi yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza ya nje; huko kutakuwa kilio na kusaga meno.


Kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana. Wakaanza kufanya furaha.


Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Kadhalika na ninyi, mkiisha kufanya vyote mlivyoamriwa, semeni, Sisi watumishi wasiofaa; tumetenda yaliyotupasa kutenda.


Wote wamepotoka, wameoza wote pia; Hakuna mtenda mema hatta mmoja:


Luka peke yake yupo hapa pamoja nami. Umtwae Marko, umlete pamoja nawe; maana anifaa kwa kazi ya khuduma.


Nakusihi kwa ajili ya mtoto wangu niliyemzaa katika mafungo yangu, Onesimo,


niliyemtuma kwako, nawe umkubali, maana ni moyo wangu;


ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo