Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Filemoni 1:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Nakusihi kwa ajili ya mtoto wangu niliyemzaa katika mafungo yangu, Onesimo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.

Tazama sura Nakili




Filemoni 1:10
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja katika makutano akamjibu, Nalimieta mwana wangu kwako, ana pepo bubu:


BASSI, nawasihi, ndugu, kwa huruma zake Mungu, mtoe miili yenu iwe dhabihu hayi, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ibada yenu yenye maana.


Siyaandiki haya illi kuwatahayarisha, hali kuwaonya kama watoto niwapendao. Maana ijapokuwa mna waalimu elfu katika Kristo, illakini hamna baba wengi.


Maana mimi ndiye aliyewazaa katika Kristo Yesu kwa Injili.


Vitoto vyangu, ambao nawaonea utungu tena mpaka Kristo aumbike ndani yenu.


pamoja ua Onesimo, ndugu mwaminifu, mpendwa, aliye mtu wa kwenu; watawaarifuni mambo yote ya huku.


kwa Timotheo, mwana wangu khassa katika imani, Neema, na rehema, na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.


kwa Tito, mwanangu katika imani tuishirikiyo: Neema na rehema na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Bwana Yesu Kristo, Mwokozi wetu.


ambae zamani allkuwa hakufai, hali sasa akufaa saua, wewe na mimi pia;


ambae mimi nalimtaka akae nami, apate kunikhudumia hadala yako katika mafungo ya Injili;


Sina furaha iliyo kuu kuliko hii, kusikia ya kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo