Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Yohana 1:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Jiangalieni nafsi zenu msiyapoteze mliyoyatenda, bali mpokee thawabu timilifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Basi, jihadharini nyinyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishughulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Basi, jihadharini nyinyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishughulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Basi, jihadharini nyinyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishughulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.

Tazama sura Nakili




2 Yohana 1:8
20 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganyeni.


Bali ninyi mwe macho: nimekwisha kuwaonyeni yote mbele.


Nanyi jihadharini nafsi zenu; maana watawapelekeni maharazani: na katika masunagogi mtapigwa: na mtachukuliwa mbele za maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao.


Akamwambia yule nae, Na wewe uwe juu ya miji mitano.


Akasema, Jibadharini, msidanganyike; kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakinena, Mimi ndiye, na, Majira yamekaribia. Bassi, msiwafuate hawo.


Avunae hupokea mshahara na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, illi yeye apandae na yeye avunae wafurahi pamoja.


na mwisho wa watu wote, alionekana na mimi, kama nae aliyezaliwa si kwa wakati wake.


Kazi ya mtu aliyoijenga juu yake ikikaa, atapata thawabu.


Bassi yeye apandae, na yeye atiae maji ni kitu kimoja, na killa mtu atapata thawabu yake mwenyewe sawasawa na taabu yake mwenyewe.


Mmepatikana na mateso makubwa namna hii burre? ikiwa ni burre.


Nawachelea, isiwe labda nimejitaabisha burre kwenu.


Illakini, hapo tulipofika na tuenende kwa kanuni ile ile.


Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu;


Bassi msiutupe njasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua watu wengi, wakatiwe najis kwa hilo.


Tazama, naja upesi. Shika sana ulicho nacho asije mtu akaitwaa taji yako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo