Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Yohana 1:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Maana ampae salamu azishirika kazi zake mbovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yeyote amkaribishaye mtu kama huyo anashiriki katika matendo yake maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.

Tazama sura Nakili




2 Yohana 1:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala usishiriki dhambi za watu wengine.


Kwa maana killa mtu atumiae maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.


bali wengine waokoeni kwa khofu, mkiwanyakua katika moto, mkilichukia hatta vazi lililotiwa takataka na mwili.


Nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo