2 Wathesalonike 3:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Bwana awaongozeni mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na uvumilivu wa Kristo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mwenyezi Mungu aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mwenyezi Mungu na katika saburi ya Al-Masihi. Tazama sura |