2 Wathesalonike 3:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Nasi tumemtumaini Bwana kwa mambo yenu, kwamba mnayafanya tuliyowaagizeni, tena kwamba mtayafanya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Naye Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaambieni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Naye Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaambieni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Naye Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaambieni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Nasi tuna tumaini katika Bwana Isa ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Nasi tuna tumaini katika Bwana Isa ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza. Tazama sura |