2 Wathesalonike 3:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Lakini Bwana ni mwaminifu, atakaewafanyeni imara na kuwaokoeni na yule mwovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Lakini Bwana Isa ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na yule mwovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Lakini Bwana Isa ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na yule mwovu. Tazama sura |