Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wathesalonike 3:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 illakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura Nakili




2 Wathesalonike 3:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na ndugu yako akikutenda dhambi, enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu: akikusikia, umempata ndugu yako.


Siyaandiki haya illi kuwatahayarisha, hali kuwaonya kama watoto niwapendao. Maana ijapokuwa mna waalimu elfu katika Kristo, illakini hamna baba wengi.


kumtolea Shetani mtu huyo, mwili uadhibiwe, illi roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu.


Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga ninyi wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Kwa biyo, naandika liayo nisipokuwapo, illi, nikiwapo, nisitumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana illi kujenga wala si kubomoa.


NDUGU, mtu ajapogbafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrudini mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako nsijaribiwe wewe mwenyewe.


Twawasihi, ndugu, waonyeni wale wasiokaa kwa taratihu, watieni moyo walio dhaifu, watieni nguvu wanyonge, vumilieni na watu wote.


Lakini, ninyi, ndugu, msikate tamaa katika kutenda mema.


Twawaagizeni, ndugu, katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na killa ndugu aendae bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.


Mtu mzushi, baada ya kumwonya marra ya kwanza na marra ya pili, mkatae;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo