Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wathesalonike 3:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Lakini, ninyi, ndugu, msikate tamaa katika kutenda mema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini nyinyi ndugu, msichoke kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini nyinyi ndugu, msichoke kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini nyinyi ndugu, msichoke kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Lakini kwenu ninyi, ndugu, kamwe msichoke katika kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa upande wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika kutenda mema.

Tazama sura Nakili




2 Wathesalonike 3:13
17 Marejeleo ya Msalaba  

AKAWAAMBIA na mfano ya kama imewapasa kumwomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa,


wale ambao kwa kustahimili katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoa kuharibika, nzima wa milele;


Bassi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe nae atatiishwa chini yake aliyemtiishia vitu vyote, illi Mungu awe yote katika yote.


KWA sababu hiyo, kwa kuwa tuna khuduma hii, kwa jinsi tulivyorehemiwa, hatulegei;


Kwa hiyo hatuzimii; bali ijapokuwa mtu wetu wa nje unaharibiwa, illakini mtu wetu wa ndani unafanywa npya siku baada ya siku.


Na hii ndiyo sala yangu, pendo lenu lizidi kuwa jingi sana, katika hekima na ufahamu wote;


ILIYOBAKI, ndugu, tunakusihini na kukuonyeni kuenenda katika Bwana Yesu, kama mlivyopokea kwetu, jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama na muavyoenenda, mpate kuzidizidi sana.


illakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyavumilia mapingamizi makuu namna hii ya wenye dhambi juu ya nafsi zao, msije mkadhoofika mkizimia mioyoni mwenu.


tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama na wana. Mwanangu, usikudharau kurudi kwake Bwana, Wala, usizimie ukikemewa nae;


tena ulistahimili na kuwa na uvumilivu, na kwa ajili yangu umejitaabisha wala hukuchoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo