2 Wathesalonike 2:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 lakini yuko azuiae sasa, hatta atakapoondolewa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo hadi atakapoondolewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa. Tazama sura |